MSWAHILILEO.BLOGSPOT.COM: WHATSAPP KUJA NA NJIA MPYA YA KUTUMA SMS ZA SAUTI: Whatsapp imeboresha application yake mara kwa mara lakini sehemu ya kutuma ujumbe wa sauti haikuwahi kubadilishwa tangu kuanza kwake 2013...
Tuesday 28 November 2017
HISTORIA YA BARAKA DA PRINCE
Staa wa Bongo Flava, Baraka Da Prince
Mwanamuziki raia wa Tanzania ambaye jina lake ni
Baraka Andrew Odiero asili ya wazazi wake
wanatokea maeneo ya Kisumu kenya
“Babu yake mzee Odiero Kalego Oimu alimwoa Mtanzania
ambaye ni bibi yake baraka da prince. Bibi baadaye alirejea kijijini kwao Tanzania
alikomzaa baba yake baraka da prince Andrew Obiero. Baadaye bibi alirejea Kisumu, Kenya
huku akimwacha baba yake baraka de prince Andrew Obiero. Tanzania alikokulia na ndipo aliko zaliwa baraka da prince tarehe 13/2/1994 mkoani Mwanza, Tanzania,
Thursday 16 November 2017
WHATSAPP KUJA NA NJIA MPYA YA KUTUMA SMS ZA SAUTI
Whatsapp imeboresha application yake mara kwa mara lakini sehemu ya kutuma ujumbe wa sauti haikuwahi kubadilishwa tangu kuanza kwake 2013.
waendeshaji wa app hiyo wametuletea njia rahisi ya kutuma ujumbe wa sauti
waendeshaji wa app hiyo wametuletea njia rahisi ya kutuma ujumbe wa sauti
Tuesday 14 November 2017
KAMPUNI YA LG YAZINDUA SIMU INAYOFUKUZA MBU
Wakati maisha yanavyo zidi kuendelea na utandawazi unazidi kukua kwa kasi
kampuni ya vifaa vya umeme imekuja na simu ambayo iko tofauti na simu tulizozizoea kutoka kila mwaka LG wametoa simu inayoweza kufukuza na kuuwa mbu
kampuni ya vifaa vya umeme imekuja na simu ambayo iko tofauti na simu tulizozizoea kutoka kila mwaka LG wametoa simu inayoweza kufukuza na kuuwa mbu
Monday 13 November 2017
JE UNAIJUA FAIDA YA KULA TUNDA LA PARACHICHI MWILINI
Parachichi ni tunda rahisi sana kupatikana hasa sehemu za baridi.
Watu wanaoishi maeneo haya wana ushahidi juu ya hili.Huuzwa nchi nzima
kwa bei ndogo na ya kawaida kabisa huku likiwa na faida kubwa sana
kiafya.Baadhi ya virutubisho muhimu vinavyopatikana kwenye tunda hili
ni;
Friday 10 November 2017
IJUE HISTORIA YA MWANAMUZIKI YEMI ALADE
Yemi Eberechi Alade amezaliwa tarehe 13 mwenzi 3 mwaka 1989 ni mtoto
wa tano katika familia ya watoto saba, elimu yake amepata katika shule
ya St. Saviour British primary, kisha akasoma sekondari ya Victory
Grammar school huko lagos na baadaye alichukua shahada yake ya geografia
katika chuo kikuu lagos.
HILI NDIYO DARAJA LINALO TISHA MADEREVA DUNIANI
Eshima Ohashi Bridge, kama linavyofahamika ni daraja lililopo nchini
Japan katika eneo la Chukogu huko Honshu. Kwa sasa linashikilia rekodi
ya daraja lenye mwinuko mkali zaidi linalotumiwa na magari huko nchini
Japan.
Thursday 9 November 2017
JE UNAJUA FAIDA YA MACHUNGWA MWILINI
Habari yako ndugu msomaji .Swala la Afya bora ni jambo muhimu sana katika Maisha ya kila
mmoja wetu na taifa kwa ujumla. Bila afya hakuna furaha,amani wa
shughuli yoyote ile ya maendeleo.Afya ndio msingi wa maisha yetu ya kila
siku.
Upuuziaji wa matumizi ya matunda na mboga mboga unachangia kwa kiasi kikubwa matatizo mengi ya kiafya. Matunda ni moja ya zawadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu binadamu tuliopewa japo tunaidharau licha ya faida yake katika maisha yetu. leo nimekuletea tunda hili nikujuze faida zake
Upuuziaji wa matumizi ya matunda na mboga mboga unachangia kwa kiasi kikubwa matatizo mengi ya kiafya. Matunda ni moja ya zawadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu binadamu tuliopewa japo tunaidharau licha ya faida yake katika maisha yetu. leo nimekuletea tunda hili nikujuze faida zake
JE UNAJUA HISTORIA YA MWANADADA SHILOLE
Amezaliwa Igunga Tabora Mwaka
1987 tarehe 6 mwenzi 12. Jina lake la passport ni Zuena Mohamed . Baba
yake alimkimbia mama yake akiwa akitambaa na alikuja kuambiwa na ndugu
zake baba yake alipata matatizo ya akili ila hajawahi kuonana naye.
Alisoma shule ya msingi Igunga na alifaulu kwenda Igunga sekondari ila aliishia kidato cha pili baada ya kubakwa na kubeba mimba akiwa na miaka 14. Huyo mtu aliyefanya kitendo hicho alikutana naye akiwa anaenda kuchota maji kisimani na kufanya hicho Mtoto alizaliwa anaitwa Joyce kwa sasa anamiaka 11.
Alisoma shule ya msingi Igunga na alifaulu kwenda Igunga sekondari ila aliishia kidato cha pili baada ya kubakwa na kubeba mimba akiwa na miaka 14. Huyo mtu aliyefanya kitendo hicho alikutana naye akiwa anaenda kuchota maji kisimani na kufanya hicho Mtoto alizaliwa anaitwa Joyce kwa sasa anamiaka 11.
Wednesday 8 November 2017
JINSI YA KUHACK WIFi PASSWARD
Habari yako ndugu msomaji wa chapisho hili, najua wazi kuna wakati unakutana na Wi-Fi nawe unatamani kutumia japo kwa
kutembelea www.Mswahilileo.blogspot.com pekee lakini unashindwa kutokana na kuwa na
nywila basi leo nimekuletea suluhisho la jambo lako hilo, njia hii ni
rahisi zaidi kuwahi kutokea haihitaji Uroot simu yako wala kuwa na app yeyote ili kufanikisha jambo hili fuatana nami hapa chini.
FAIDA 10 ZA TUNDA LA KOMAMANGA
komamanga ni tunda lenye asili ya india
1.Lina uwezo mkubwa wa kuzuia ugonjwa wa kansa
2. Linasaidia kukinga magonjwa ya moyo
1.Lina uwezo mkubwa wa kuzuia ugonjwa wa kansa
2. Linasaidia kukinga magonjwa ya moyo