- Vitamini K
__________26%
- Folate
__________20% - Vitamini C
__________17% - Potassium
__________14% - Vitamin E
__________14% - Vitamin B5
__________14% - Vitamin B6
__________13%
Monday 13 November 2017
Home »
AFYA YAKO LEO
» JE UNAIJUA FAIDA YA KULA TUNDA LA PARACHICHI MWILINI
JE UNAIJUA FAIDA YA KULA TUNDA LA PARACHICHI MWILINI
Parachichi ni tunda rahisi sana kupatikana hasa sehemu za baridi.
Watu wanaoishi maeneo haya wana ushahidi juu ya hili.Huuzwa nchi nzima
kwa bei ndogo na ya kawaida kabisa huku likiwa na faida kubwa sana
kiafya.Baadhi ya virutubisho muhimu vinavyopatikana kwenye tunda hili
ni;
0 comments:
Post a Comment