Upuuziaji wa matumizi ya matunda na mboga mboga unachangia kwa kiasi kikubwa matatizo mengi ya kiafya. Matunda ni moja ya zawadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu binadamu tuliopewa japo tunaidharau licha ya faida yake katika maisha yetu. leo nimekuletea tunda hili nikujuze faida zake
Haya ni matunda matamu sana ,rahisi sana kupatikana na yenye faida nyingi mno kwa afya yako.Matunda hayab hupatikana kwa wingi bila gharama kubwa mfano kwa wale waliofika Morogoro na Tanga wanajua uwingi wa matunda haya. kama hujui tazama virutubisho muhimu sana viliyomo katika machungwa.
- Vitamin C
__________________93% - Fiber
__________________13% - vitamini B1
__________________9% - Pottasium
__________________7% - Calcium
___________________5%
- Vitamic C ya machungwa husaidia kuimarisha ulinzi wa Antioxidant na ulinzi dhidi ya magonjwa
- Machungwa husaidia kuzuia ugonjwa wa mawe katika figo(kidney stones)
- Machungwa huzuia kansa na vidonda vya tumbo
- Machungwa husaidia na kuboresha afya ya mfumo wa upumuaji.
Natumaini utakua umenielewa ndugu msomaji nakutakia siku njema pia usikose kutembelea blog hii kila siku hili kujua mengi zaidi kula machungwa
mara kwa mara uone faida yake kwa afya yako.
0 comments:
Post a Comment